Resultados de la búsqueda

You Searched for Search again

Resultados de la búsqueda

  1. Fadhail Za Imam Ali (as)

    3059 views Amiraly M. H. Datoo Hadith ya Mtume wa Mwenyezi Mungu juu ya ubora wa Imamu Ali (as) Fadhail Za Imam Ali (as) 1. Kutokea 'Ala, amesema yeye: "Mimi nilimwuliza 'Aysha kuhusu 'Ali ibn Abi Talib. Mimi nilimwuliza Mtume s.a.w.w. ...

    Aliwaale - 09/06/2019 - 08:19

  2. Hadithi Za Mtume (s)

    18025 views Ductoor A Kadiri Sheikh Abdillahi Nassir Kitabu hiki ni mkusanyiko wa baadhi ya mafunzo yake S.A.W. ambayo yanatupa msingi wa yote hayo. Hadithi Za Mtume (s.a.w.) Kimetarjumiwa Na: Ductoor A Kadiri Taasisi ya Fikra za Kiislamu (Islamic Thought ...

    Aliwaale - 09/04/2019 - 18:17

  3. Jannat na Jahannam

    4556 views (Peponi na Motoni) Amiraly M. H. Datoo Kitabu hiki anaelezea Jannat na Jahannam. General Jannat Jahannam Nafs Prophet Muhammad ...

    Aliwaale - 09/06/2019 - 08:19

  4. Kufunga Saumu Siku Ya Ashura

    6007 views Amiraly M. H. Datoo Kufunga Saumu Siku Ya Ashura Makala 1 haya yametarjumiwa na: Amiraly M. H. Datoo [email protected] Bukoba – Tanzania Baadhi ya Ahadith zinapatikana katika vitabu vya Ahl as-Sunnah kwamba Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w. ali ...

    Aliwaale - 09/04/2019 - 18:07

  5. Kupaka Juu Ya Khofu

    Kwa Mtazamo Wa Qurani Na Sunna 3546 views Ayatullah Jafar Subhani Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako, ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu kwa jina la: "Al-Mas’hu ‘Ala ‘l-Khuffayn" Sisi tumekiita: "Kupaka Juu ya Khofu." Ki ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 18:57

  6. Kukusanya Sala Mbili

    Kwa Mtazamo wa Qurani Na Sunna 4353 views Ayatullah Jafar Subhani Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako, ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu kwa jina la: "Al-Jam’u Bayna Salaatayn" Sisi tumekiita: "Kukusanya Sala mbili." Kit ...

    Aliwaale - 09/04/2019 - 18:07

  7. Madhambi Yamfanyayo Mtu Kuingia Jahannam

    3305 views Amiraly M. H. Datoo Madhambi Yamfanyayo Mtu Kuingia Jahannam ***** Hadithi hii ilisomwa na: Sheikh Akmal Hussein Taheri- Bukoba. Mwanadamu yupo daima anatenda madhambi kutokana na nafsi yake mwenyewe. Malaika walipomwabia Allah swt kuwa mjumbe ...

    Aliwaale - 09/06/2019 - 08:19

  8. Mahari ya Damu

    2739 views Ayatullah Murtadha Mutahhari Muhammad Rida Shushtary Hii ni Makala ya Mahari ya Damu. Mahari ya Damu ***** Wakati vita vya Siffin vilipokaribia kumalizika na majeshi ya Sham (Syria) kushindwa, Amr Aas alitumia njama moja ambayo iliwasaidia Wash ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 15:24

  9. Mikesha Ya Peshwaar

    6465 views Sultan al-Wa’adhin As-Sayyid Muhammad al-Musawi ash-Shirazi Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza kiitwacho, Peshawar Nights. Asili ya kitabu hiki ni cha lugha ya Kifarsi kwa jina la, Shab’ha-ye ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 09:14

  10. Mkufu wa Ajabu

    3823 views Sayyid Mahdi Shuja'i Muhammad Rida Shushtary Mkufu wa Ajabu Mji wa Madina ulikuwa ukiwaka kwa joto kali baada ya adhuhuri. Jua lilikuwa kali na ardhi ilikuwa ikiunguza. Ni watu wachache tu ndio waliokuwa wakitoka kwenye kivuli cha nyumba n ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 09:14

  11. Muhammad Mtume wa Allah

    3926 views Al Itrah Foundation Kijitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya Kiswahihi kutoka Kiingereza. Ni maelezo mafupi ya wasifu wa Mtukufu Mtume wa Mungu mwenye nguvu sana, Muhammad (s.a.w.), ambaye kuhusu yeye Qur’an Tukufu inasema: “Bila shaka a ...

    Aliwaale - 09/04/2019 - 18:07

  12. Nafasi Ya Ahlulbayt (as)

    4584 views Sayyid Murtadha al-'Askari Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako, ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza, kwa jina la: "The role of Ahlul Bait (as) in Preserving the teaching of Islam" Tarjuma ya Mulla Asghaar M. M. Ja ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 18:57

  13. Nahjul Balaghah- Juzuu ya Kwanza

    13357 views Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mkononi mwako ni tarjumi kutoka lugha ya Kiarabu ya kitabu maarufu katika ulimwengu wa Kiislamu, Nahju 'l-Balaghah. Kitabu hiki kitachapishwa katika majalada mbali mbali, na hili ulilo nalo mkononi ni ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 15:50

  14. Nahjul Balaghah- Juzuu ya Pili

    7004 views Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mkononi mwako ni tarjumi kutoka lugha ya Kiarabu ya kitabu maarufu katika ulimwengu wa Kiislamu, Nahju 'l-Balaghah. Kitabu hiki kitachapishwa katika juzuu mbili, na hii uliyo nayo mkononi ni juzuu ya pi ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 18:57

  15. Visa Vya Kweli

    Sehemu Ya Kwanza 14528 views Sayyid Ali Akbar Sadaaqat Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza kiitwacho, Anecdotes. Sisi tumekiita, Visa vya Kweli. Kitabu hiki kime- andikwa na Sayyid Ali Akbar Sadaaqat. Ki ...

    Aliwaale - 09/04/2019 - 18:07

  16. Utumwa

    Mtazamo Wa Ki Islamu Na Qa Nchi Za Magharibi 3788 views Sayyid Sa'eed Akhtar Rizvi Al Itrah Foundation Kitabu hiki kimerudiwa kimechapishwa tena kwa ruhusa ya waandishi, ili kuafikiana na Kongamano la Kilimwengu la Umoja wa Mataifa dhidi ya Ubagazi w ...

    Aliwaale - 09/17/2019 - 15:24

  17. Usahihi Wa Historia Ya Uislamu Na Waislamu

    12482 views Sayyid Ali Asghar Razwy Al Itrah Foundation Hii ni historia ya vuguvugu la Uislamu ambalo lilianzishwa na Muhammad, Mtume wa Allah (s.w.t.) mnamo mwaka 610 A.D. huko Makka, na kuendelea alipohamia Madina mpaka alipofarika. Inahusisha kipindi c ...

    Aliwaale - 09/17/2019 - 14:19

  18. Upendo Katika Ukristo Na Uislamu

    5750 views Mahnaz Heydarpoor Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako, ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza, kwa jina la: “Love in Christianity and Islam.” Sisi tumekiita: “Upendo katika Ukirsto na Uislamu. Kitabu hiki, “Upendo katika Ukristo na ...

    Aliwaale - 09/17/2019 - 15:29

  19. Ukweli Wa Shia Ithna Ashariyyah

    5048 views As'ad Wahid al-Qasim Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako, ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu, kwa jina la: Haqiqat Shi’a Ithna-Asahariyyah kilichoandikwa na, Dr. ‘Asad Wahid Al-Qaasim. Kitabu hiki ni utafiti wa kina uliofanyw ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 18:57

  20. Ukweli Uliopotea- Sehemu ya Tano

    Imani ya Sunni 12108 views Shaykh Mu'tasim Sayyid Ahmad (of Sudan) Al Itrah Foundation Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu kiitwacho al-Haqiqatu ‘dh-Dha’i’ah kilichoandikwa na Sheikh Mu’tasim Sayyid Ahmad. Sisi tumekiita, ...

    Aliwaale - 09/05/2019 - 18:57