
Kitabu hiki kilichoko mikononi mwako hivi sasa ni juhudi ya miaka mingi sana ya watu waliojitolea kuona kazi hii imefanikiwa bila ya kumsahau Marhum Abu Muhammad wa London.
Al-Kashif-Juzuu Ya Kumi Na Tano
Haki ya kunaikli imehifadhiwa na:
Al-Itrah Foundation
ISBN: 9987-427-35-9
Kimeandikwa na:
Sheikh Muhammad Jawad Mughniyya
Kimetafsiriwa na:
Sheikh Hasan Mwalupa
Kimehaririwa na:
Ustadh Abdallah Mohamed
Toleo la kwanza: Desemba 2006
Nakala: 5000
Kimetolewa na kuchapishwa na:
Alitrah Foundation
S.L.P. 19701 Dar es Salaam, Tanzania
Simu: +255 22 2110640 / 2127555
Barua Pepe: [email protected]
Tovuti: www.ibn-tv.org