read

Yapasa Tuyalilie Mauti Yake Husain

Na: Masoud Abdallali Muh'd,
Mombasa - Kenya

Imam Shafii Asema:

Husain! aliuliwa shahidi pasi na makosa yoyote
na kanzu yake ikatapakazwa wekundu.

Ikiwa dhambi zangu ni kuwapenda
Watoto wa Mtume Mohammad (s.a.w.w)
basi ni dhambi ambazo sitatubia.

Kwa sababu ya Ahlul-Bayt wa Mtume (s.a.w.w)
Ulimwengu mzima ulitetema
na majabali na milima ilikaribia kuyeyuka.

Ni nani atakayemfikishia Husain ujumbe wangu na hata kama nyoyo zatukia?