Namshukuru Mwenyezi Mungu Mola wa watu wote, Rehma na amani zimshukie Hashima, yeye na ahli zake.
Utukufu wa Seyyidna Ali mbele ya Mwenyezi Mungu ni jambo lisilo na shaka. Amezaliwa na wazazi watukufu na akalelewa na mtukufu waviumbe ambaye ni mtume Muhammad (s.a.w.w).
(Ewe mwanadamu! Ikumbuke) siku Tutakapowaita kila watu pamoja na Imamu wao; basi atakayepewa kitabu (chake cha Amali) kwa mkono wa kulia, hao watavisoma vitabu vyao (kwa furaha)… (Banii Israeil, 17:71)
Mtukufu Mtume (s.a.w.w) amesema: "Ye yote yule afaye pasi na kumjua Imamu wa zama zake, atakuwa kafa kifo cha ujinga."
Baada ya Zaka iliyofaradhishwa inakuja Khums iliyofaradhishwa ambayo Allah (swt) amewawekea kwa ajili ya Mtume Muhammad Mustafa (s.a.w.w). pamoja na Ahlul Bayt (a.s), ambapo Zaka kwao ni haramu. Na iwapo mtu yeyote hatalipa Khums hata kwa Dirham moja au chini yake, basi huyo atakuwa ni mdhulumaji wa haki ya watajwa hapo juu.
Swahili
8. Kusali Sala Za Marehemu Ni Lazima
Haifai kabisa kufanya uvivu katika Sala zilizofaradhishwa na iwapo kutabakia kwa Sala ambazo zimekuwa Qadhaa za marehemu basi ni wajibu kake kufanya wusia kuwa sala zake hizo zitimizwe baada kufa kwake. Na marehemu anapofanya wusia kama huo basi ni wajib juu ya mwusiwa kutekeleza na kutimiza usia huo kutokea sehemu ya tatu ya mali ya marehemu huyo.
Swahili
7. Zaka Zilizo Sunnah
Vitu saba vina Zaka Sunnah:
1. Mali ya biashara au mtaji
Mali ambayo mtu anataka kuitumia katika kufanyia bishara
2. Aina za nafaka :
Mfano mchele, dengu, dengu iliyoparazwa. Lakini mbogamboga kama vile biringanya, matango, matikimaji, maboga hayana Zaka.
3. Farasi jike
4. Vito vya dhahabu na mawe
Vitu vilivyotengezwa vya kuvaa na mawe kama almasi n.k.
5. Mali iliyozikwa au kufichwa
Swahili
6. Matumizi Ya Zaka
Amesema Allah (swt) katika Quran: Surah al – Tawbah, 9, Ayah 60:
Swahili
5. Aina Za Zaka Na Viwango Vyake
Zaka imegawanywa katika makundi mawili
• Zaka iliyofaradhishwa
• Zaka iliyo Sunnah
Na Zaka iliyofaradhishwa pia imegawanywa katika makundi mawili:
• 1. Zaka ya mali
• 2. Zaka ya Mwili ( Zakati Fitrah )
Zaka iliyofaradhishwa inayo aina tisa za mali na aina nne za nafaka (ngano, Shayiri, tende na zabibu), aina tatu za wanyama (kondoo au mbuzi, ng’ombe na ngamia) na aina mbili za madini (dhahabu na fedha).
Swahili
4. Zaka Na Sadaqah Huongeza Neema
Faida kuu mojawapo ya kutoa Zaka ni kuongezeka kwa neema na baraka ya mali yetu iwapo itatolewa kwa kuzingatia kanuni na ustaarabu wa kutoa hivyo, na ni kinyume na mawazo na mipango ya Ki-Shaytani, kwani mabakhili hufikiria daima kuwa kwa kutoa mali yako kwa ajili misaada na Sadaqah na Zaka, basi mali yao hupungua na hivyo wanaweza kuwa masikini na kwa hakika hayo ndiyo mawazo na upotofu wa Shaytani.
Amesema Allah (swt) katika Quran: Surah al –Baqarah, Ayah 28:
Swahili
3. Sababu Za Kufaradhishwa Kwa Zaka
Katika kufaradhisha utoaji wa Zaka na Sadaqah zinginezo zinahekima ndani yake ambazo hazipo dhahiri mbele yetu. Hata hivyo baadhi yao zimeletwa bele yetu (ambavyo ni kutokea Allah ((swt)) mtihani kwa wenye mali na utajiri kwa kujiuliza je kwao Allah (swt) ni mpenzi zaidi kuliko mali zao ambazo zitakwisha siku moja? Na je kwa kweli wana imani kamili juu ya Thawabu, Jannat, Jazaa (malipo) au hawana imani? Je kwa kweli wanafanya ibada ya Allah (swt) kwa moyo mkweli au sivyo?
OTP entered does not match. Please enter the correct OTP!
Full Name and Password are required.
Please provide a valid Email address.
Please enter a valid email address.
Enter valid first name and last name with at least one space.
Mail sent successfully!
A validation e-mail has been sent to your e-mail address. You will need to follow the instructions in that message in order to gain full access to the site.
We use cookies to enhance your experience on our site. Essential cookies are necessary for the site to function. Analytics cookies help us understand how you use the site. Learn more
Cookie Preferences
Control how we use cookies on this site. Essential cookies cannot be disabled as they are required for the site to function.
Required
These cookies are necessary for the website to function and cannot be switched off.
These cookies allow us to count visits and traffic sources so we can measure and improve the performance of our site.