2. Asiyelipa Zaka Ni Kafiri
Kama tulivyokwisha ona hapo awali kuhusu masuala ya zaka na kutokulipa kwake ni dhambi kuu. Iwapo mtu atamlazimu kulipa Zaka na kwa sababu za ubakhili wake, halipi basi atakuwa kafiri na najis kwani Zaka ni slawa na kufaradhishiwa kutimiza kama Sala na swala moja muhimu katika Dini na kwa kutokutimiza misingi ya dini, basi kunamtoa mtu nje ya dini. Zipo riwaya nyingi ambazo zinazumngumzia kukufurishwa kwa mtu asiyetoa Zaka kwa sababu za ubakhili wake. Al Imam Ja'afer as-Sadiq (a.s) amesema katika Wasa’il as-Shiah,mlango 4, Hadith 2, J.6, Uk 18: