2. Asiyelipa Zaka Ni Kafiri

Kama tulivyokwisha ona hapo awali kuhusu masuala ya zaka na kutokulipa kwake ni dhambi kuu. Iwapo mtu atamlazimu kulipa Zaka na kwa sababu za ubakhili wake, halipi basi atakuwa kafiri na najis kwani Zaka ni slawa na kufaradhishiwa kutimiza kama Sala na swala moja muhimu katika Dini na kwa kutokutimiza misingi ya dini, basi kunamtoa mtu nje ya dini. Zipo riwaya nyingi ambazo zinazumngumzia kukufurishwa kwa mtu asiyetoa Zaka kwa sababu za ubakhili wake. Al Imam Ja'afer as-Sadiq (a.s) amesema katika Wasa’il as-Shiah,mlango 4, Hadith 2, J.6, Uk 18:

Swahili

1. Kutokulipa Zaka

Katika Madhambi makuu, dhambi la thelathini na saba ni kule kutokulipa Zaka zilizofaradhishwa na kama vile ilivyoelezwa katika Sahifa ya ‘Abdul ‘Adhim kwamba Maimamu Al Imam Ja'afer as-Sadiq (a.s), Imam Musa al-Kadhim (a.s) na Al Imam Muhammad at-Taqi (a.s) wamesema kuwa hili ni dhambi kubwa kabisa kwani amesema Allah (swt) katika Quran: Surah al –Tawbah, Ayah 34 – 35:

Swahili

Utangulizi

Hapa nitapenda kuzungumzia machache kuhusu sadaqah
• Sadaqah inalipia madeni na kuongezea neema kwetu,

• Sadaqah inatuepusha na mauti katika hali mabya

• Siku ya Qiyama kutakuwa na jua na joto kali mno, lakini Mumin atakuwa katika kivuli, nacho ni sadaqah aliyokuwa akiitoa.

• Toeni sadaqah asubuhi na mapema, ili balaa na matatizo yasiwafikieni katika siku nzima.

• Muwatibu wagonjwa wenu kwa kutoa sadaqah

• Kutoa sadaqah ni afadhali kuliko kumnunua mtumwa na kumfanya huru

Swahili

17. Muta': Ndoa Ya Kukatiza Au Mkataba

Kuhusiana na somo hili la muta', nimejaribu kugawa hili somo katika sehemu tatu ambazo zote zinashikamana kwani kila sehemu inaelezea jambo moja kwa kinaganaga.

Sehemu ya kwanza inahusiana sana na namna hii ya ndoa katika Islam ilivyokuwa na ambavyo ipo bado na masharti yake na kanuni zake na namna inavyobidi kutekelezwa kwa mujibu wa madhehebu ya Shia Ithna-asheria na ambavyo inavyohukumiwa na 'Ulamaa wa Madhehebu haya.

Swahili

16. Talaqa

Kuna baadhi ya mizozo na sura katika maisha ya ndoa ambazo zinashindikana kutatuliwa katika misingi mbalimbali na hali ya maisha ya kifamilia inakuwa haivumiliki. Katika hali kama hizo, kunakuwa na njia mbili tu za kufanya ambazo zinakuwa zimebakia:

1.Kumwachia bibi na bwana katika hali hiyo hiyo walivyo, ambavyo kwa mujibu wa aya ya Qurani tukufu ni adhabu ya motoni.

Swahili

15. Wakati Wa Kusuhubiana

1) Wakati usiopendekezwa

1.Ni haramu kusuhubiana na mwanamke anapokuwa katika haidh (mwanamke anapotokwa na damu ya kila mwezi) au nifas (damu inayotoka baada ya kuzaa) na vile vile si vyema kumgusa kuan­zia sehemu zake za siri hadi magoti yake.

Swahili

14. Adabu Za Kusuhubiana

1.Mtume s.a.w.w. amesema: "Msisuhubiane na wake zenu kama kuku. Fanyeni mapenzi ya kutosha mubusu na hatimaye munapojawa na raha ndipo musuhubiane”.

Swahili

13. Hukumu Za Ndoa

Kwa mujibu wa fatawa za Alhaji Sayyed Ali Hussein Sistani, Najaf- Ashraf, Iraq.

Swahili

20. Ufumbuzi Wa Masuala Mengi

Swahili

19. Mambo Muhimu Ya Kuzingatia

1. Si haramu kusuhubiana na mke anapokuwa na mimba lakini iwapo kutakuwa na hatari kwake yeye au mtoto aliye tumboni, basi katika hali hii itakuwa ni haraam kusuhubiana. Hata hivyo wataalamu wanapinga kusuhubiana wakati mwanamke anapokuwa na mimba.

2. Wazee waliwauliza Maulamaa iwapo watoto watazaliwa vile yalivyoelezwa hapo awali, lakini walijibu kuwa hayo yote yapo mikononi mwa Allah swt.

Swahili