16. Kilio Cha Mtubia Bora Kuliko Tasbihi Za Malaika
"Nyie nyote mmeketi hapa katika hali ya 'saumu ' na joto kali, wazee na vijana wetu watakapoomba duaa katka hali hii, basi itakuwa na athari kubwa na sauti hizi tukufu zitafikia hata Malaika." Hayo ndiyo yaliyokuwa yamesemwa na Shahidi Mihrabu, mbele ya umati wa watu.