26. Wenye Kutubu Hawatatoa Ushahidi Dhidi Ya Madhambi Yao
Ni jambo la kusikitisha mno kuwa sisi na nyinyi tutasimamishwa kwa pamoja mbele ya Allah swt kwa ajili ya kutolewa uamuzi baina yetu kuhusu matendo yetu. Imam Jaafer as-Sadique a.s. katika Usuli Kafi, mlango wa TAWBA anatubashiria kuwa: