Sura Ya Mia Na Kumi Na Moja: An-Nasr

Imeshuka Madina. Ina Aya 3.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu

إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّهِ وَالْفَتْحُ {1}

Itakapokuja nusra ya Mwenyezi Mungu na ushindi.

وَرَأَيْتَ النَّاسَ يَدْخُلُونَ فِي دِينِ اللَّهِ أَفْوَاجًا {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Kumi Na Mbili: Al-Lahab

Imeshuka Makka Ina Aya 5.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu.

تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ {1}

Imeangamia mikono ya Abu Lahab na yeye ameangamia.

مَا أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُ وَمَا كَسَبَ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Kumi Na Tatu: Al-Ikhlas

Imeshuka Makka Ina Aya 4.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ {1}

Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni mmoja.

اللَّهُ الصَّمَدُ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Kumi Na Tatu: Al-Falaq

Imeshuka Makka Ina Aya 5.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ الْفَلَقِ {1}

Sema: Najikinga kwa Mola wa asubuhi.

مِنْ شَرِّ مَا خَلَقَ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Kumi Na Nne: An-Nas

Imeshuka Madina Ina Aya 6.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ النَّاسِ {1}

Sema: Najikinga kwa Mola wa watu.

مَلِكِ النَّاسِ {2}

Swahili

Utangulizi Wa Mchapishaji

Kitabu hiki kilichoko mikononi mwako hivi sasa ni juhudi ya miaka mingi sana ya watu waliojitolea kuona kazi hii imefanikiwa bila ya kumsahau Marhum Abu Muhammad wa London.

Kama lilivyo jina la Tafsiri ndivyo ilivyo Tafsiri yenyewe ambayo mwanachuoni huyu mahiri kabisa aliyeifafanua ni mtu aliyebobea katika fani zote ambazo mfasiri (Mfafanuzi) anatakiwa awe nazo.

Sheikh Muhammad Jawad Mughniyya ameonesha cheche zake katika vitabu vingi alivyoviandika katika maudhui mbalimbali na hivyo kujipa­tia wasomaji wengi sana.

Swahili

Sura Ya Sitini Na Saba: Al-Mulk

Imeshuka Makka. Ina Aya 30.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

تَبَارَكَ الَّذِي بِيَدِهِ الْمُلْكُ وَهُوَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {1}

Swahili

Sura Ya Sitini Na Nane: Al- Qalam

Imeshuka Makka. Imesemekana kuwa baadhi imeshuka Madina. Ina Aya 52.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

ن ۚ وَالْقَلَمِ وَمَا يَسْطُرُونَ {1}

Nun. Naapa kwa kalamu na yale wanayoandika.

مَا أَنْتَ بِنِعْمَةِ رَبِّكَ بِمَجْنُونٍ {2}

Swahili

Sura Ya Sitini Na Tisa: al-Haqqah

Aya 1 – 18: Tukio La Haki Ni Nini Tuko La Haki

Maana

Tukio la haki. Nini hilo Tukio la haki?

Swahili

Sura Ya Sabini: Al- Maa’rij

Ina Aya 44. Imshuka Makka

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

سَأَلَ سَائِلٌ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ {1}

Mwenye kutaka alitaka adhabu itakayotokea.

لِلْكَافِرِينَ لَيْسَ لَهُ دَافِعٌ {2}

Swahili