Sura Ya Sabini Na Mmoja: Nuh

Imeshuka Makka Ina Aya 28.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

إِنَّا أَرْسَلْنَا نُوحًا إِلَىٰ قَوْمِهِ أَنْ أَنْذِرْ قَوْمَكَ مِنْ قَبْلِ أَنْ يَأْتِيَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ {1}

Swahili

Sura Ya Sabini Na Mbili: Al-Jinn

Imeshuka Makka Ina Aya 28.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِنَ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا {1}

Swahili

Sura Ya Sabini Na Tatu: Al Muzzammil

Imeshuka Makka Ina Aya 20

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehmu.

يَا أَيُّهَا الْمُزَّمِّلُ {1}

Ewe uliyejizongazonga nguo!

قُمِ اللَّيْلَ إِلَّا قَلِيلًا {2}

Swahili

Sura Ya Sabini Na Nne: Al- Muddathir

Imeshuka Makka Ina Aya 56.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

يَا أَيُّهَا الْمُدَّثِّرُ {1}

Ewe uliyejigubika!

قُمْ فَأَنْذِرْ {2}

Simama uonye!

وَرَبَّكَ فَكَبِّرْ {3}

Swahili

Sura Ya Sabini Na Tano: Al-Qiyama

Imeshuka Makka. Ina aya 40.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

لَا أُقْسِمُ بِيَوْمِ الْقِيَامَةِ {1}

Ninaapa kwa Siku ya Kiyama!

وَلَا أُقْسِمُ بِالنَّفْسِ اللَّوَّامَةِ {2}

Swahili

Sura Ya Sabini Na Sita: Al-Insan

Imeshuka Makka Ina 31. Imesemekana isiyokuwa hivyo.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

هَلْ أَتَىٰ عَلَى الْإِنْسَانِ حِينٌ مِنَ الدَّهْرِ لَمْ يَكُنْ شَيْئًا مَذْكُورًا {1}

Swahili

Sura Ya Sabini Na Saba: Al-Mursalat

Imeshuka Makka Ina Aya 50.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا {1}

Naapa kwa wanaotumwa kwa wema!

فَالْعَاصِفَاتِ عَصْفًا {2}

Na wanaokwenda kwa kasi!

وَالنَّاشِرَاتِ نَشْرًا {3}

Swahili

Utangulizi Wa Mchapishaji

Kitabu hiki kilichoko mikononi mwako hivi sasa ni juhudi ya miaka mingi sana ya watu waliojitolea kuona kazi hii imefanikiwa bila ya kumsahau Marhum Abu Muhammad wa London.

Kama lilivyo jina la Tafsiri ndivyo ilivyo Tafsiri yenyewe ambayo mwanachuoni huyu mahiri kabisa aliyeifafanua ni mtu aliyebobea katika fani zote ambazo mfasiri (Mfafanuzi) anatakiwa awe nazo.

Sheikh Muhammad Jawad Mughniyya ameonesha cheche zake katika vitabu vingi alivyoviandika katika maudhui mbalimbali na hivyo kujipa­tia wasomaji wengi sana.

Swahili

Sura Ya Hamsini Na Nane: Al -Mujadala

Imeshuka Madina. Imesemekana kinyume na hivyo Ina Aya 22.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

قَدْ سَمِعَ اللَّهُ قَوْلَ الَّتِي تُجَادِلُكَ فِي زَوْجِهَا وَتَشْتَكِي إِلَى اللَّهِ وَاللَّهُ يَسْمَعُ تَحَاوُرَكُمَا ۚ إِنَّ اللَّهَ سَمِيعٌ بَصِيرٌ {1}

Swahili

Sura Ya Hamsini Na Tisa: Al-Hashr

Imeshuka Madina. Ina Aya 24.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

سَبَّحَ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ {1}

Swahili