Sura Ya Tisini: Al-Balad

Imeshuka Makka Ina Aya 20.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu.

لَا أُقْسِمُ بِهَٰذَا الْبَلَدِ {1}

Naapa kwa mji huu!

وَأَنْتَ حِلٌّ بِهَٰذَا الْبَلَدِ {2}

Nawe unaukaa mji huu.

وَوَالِدٍ وَمَا وَلَدَ {3}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Mmoja: Ash-Shams

Imeshuka Makka Ina Aya 15.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَالشَّمْسِ وَضُحَاهَا {1}

Naapa kwa Jua na mwangaza wake!

وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا {2}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Mbili: Al-Layl

Imeshuka Makka Ina Aya 21.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَىٰ {1}

Naapa kwa usiku unapofuni­ka!

وَالنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ {2}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Tatu: Ad-Dhuha

Imeshuka Makka Ina Aya 11.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَالضُّحَىٰ {1}

Naapa kwa Dhuha!

وَاللَّيْلِ إِذَا سَجَىٰ {2}

Na kwa usiku unapotua!

مَا وَدَّعَكَ رَبُّكَ وَمَا قَلَىٰ {3}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Nne: Al-Inshirah

Imeshuka Makka Ina Aya 8.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ {1}

Je, hatukukukunjulia kifua chako?

وَوَضَعْنَا عَنْكَ وِزْرَكَ {2}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Tano: At-Tin

Imeshuka Makka Ina Aya 8.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَالتِّينِ وَالزَّيْتُونِ {1}

Naapa kwa tini na zaituni!

وَطُورِ سِينِينَ {2}

Na kwa mlima Sinai!

وَهَٰذَا الْبَلَدِ الْأَمِينِ {3}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Sita: Al-A’laq

Imeshuka Makka Ina Aya 19.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

اقْرَأْ بِاسْمِ رَبِّكَ الَّذِي خَلَقَ {1}

Soma kwa jina la Mola wako aliyeumba.

خَلَقَ الْإِنْسَانَ مِنْ عَلَقٍ {2}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Saba: Al-Qadr

Imeshuka Makka Ina Aya 5.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

إِنَّا أَنْزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةِ الْقَدْرِ {1}

Hakika tumeiteremsha katika Laylatul Qadri.

وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَةُ الْقَدْرِ {2}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Nane: Al-Bayyina

Imeshuka Makka Ina Aya 8 Imesemekana imeshuka Madina na ikasemekana imeshuka Makka.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

لَمْ يَكُنِ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ مُنْفَكِّينَ حَتَّىٰ تَأْتِيَهُمُ الْبَيِّنَةُ{1}

Swahili

Sura Ya Tisini Na Tisa: Az-Zilzala

Imeshuka Makka na imesemekana imeshuka Madina Ina Aya 8.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

إِذَا زُلْزِلَتِ الْأَرْضُ زِلْزَالَهَا {1}

Itakapotetemeshwa ardhi huo mtetemeko wake!

وَأَخْرَجَتِ الْأَرْضُ أَثْقَالَهَا {2}

Swahili