Sura Ya Mia: Al-A’diyat

Imeshuka Makka na imesemekana ni Madina Ina Aya 11.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَالْعَادِيَاتِ ضَبْحًا {1}

Naapa kwa wanokwenda mbio wakihema.

فَالْمُورِيَاتِ قَدْحًا {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Mmoja: Al-Qari’aa

Imeshuka Makka Ina Aya 11.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

الْقَارِعَةُ {1}

Inayogonga!

مَا الْقَارِعَةُ {2}

Nini inayogonga?

وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْقَارِعَةُ {3}

Swahili

Sura Ya Mia Na Mbili: At-Takathur

Imeshuka Makka, na imesemekana ni Madina Ina Aya 8.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

أَلْهَاكُمُ التَّكَاثُرُ {1}

Kumewashughulisha kujifa­harisha kwa wingi!

حَتَّىٰ زُرْتُمُ الْمَقَابِرَ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Tatu: Al-A’sr

Imeshuka Makka Ina Aya 3.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَالْعَصْرِ {1}

Naapa kwa Zama!

إِنَّ الْإِنْسَانَ لَفِي خُسْرٍ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Nne: Al-Humaza

Imeshuka Makka Ina Aya 9.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

وَيْلٌ لِكُلِّ هُمَزَةٍ لُمَزَةٍ {1}

Ole wake kila msingiziaji, msengenyaji!

الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Tano: Al-Fil

Imeshuka Makka. Ina Aya 5.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَابِ الْفِيلِ {1}

Je, hukujua namna gani alivy­owafanya Mola wako wenye ndovu?

أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِي تَضْلِيلٍ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Sita: Quraysh

Imeshuka Makka Ina Aya 4.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu

لِإِيلَافِ قُرَيْشٍ {1}

Kwa ajili ya kuzowea maku­raishi.

إِيلَافِهِمْ رِحْلَةَ الشِّتَاءِ وَالصَّيْفِ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Saba: Al-Maa’un

Imeshuka Makka. Imesekana si hivyo. Ina Aya 7.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu

أَرَأَيْتَ الَّذِي يُكَذِّبُ بِالدِّينِ {1}

Je, umemwona ambaye anakadhibisha dini?

فَذَٰلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Nane: Al-Kawthar

Imeshuka Makka Ina Aya 3.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu.

إِنَّا أَعْطَيْنَاكَ الْكَوْثَرَ {1}

Hakika tumekupa wingi sana.

فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَانْحَرْ {2}

Swahili

Sura Ya Mia Na Tisa: Al-Kafirun

Imeshuka Makka Ina Aya 6.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ 

Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kure­hemu

قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ {1}

Sema: Enyi makafiri!

لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ {2}

Swahili