27. Kumsaidia Mu’umin ni Sunnah
Kutoa katika mali yako kwa ajili ya kumsaidia mu’umin ni sunnah.
• Al Imam Ja'afer as-Sadiq a.s. amesema kuwa:
“Allah swt amefaradhisha kwa waja wake kwa kusisitiza kuwa kama yafuatavyo,
• kwanza uadilifu na mapenzi yake pamoja na mu’min mwenzake kama vile ajipendeavyo yeye kwa ajili yake ndivyo ampendee mu’min mwenzake.
• pili awe ameweka hisa fulani au kiasi fulani katika mali yake kwa ajili ya kutaka kumsaidia mu’min ndugu mwenzake. Na