Sura Ya Thelathini Na Nane: Saad

Imeshuka Makka Ina aya 88

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Swahili

Aya 1 – 11: Naapa Kwa Qur’an Yenye Mawaidha

Maana

Swaad.

Umetangulia mfano wake katika Juz. 1 (2:1).
Naapa kwa Qur’an yenye ukumbusho, Lakini waliokufuru wamo katika majivuno na upinzani.

Swahili

Aya 12 – 20: Subiri Juu Ya Hayo Wanayosema

Swahili

Aya 21 – 25: Kondoo 99 Kwa Kondoo 1

Tafsiri Na Hadith Za Kiisrail

Baadhi ya wafasiri, wakifafanua Aya hii, wamemnasibishia Nabii Daud mambo ambayo si laiki hata ya mtu wa kawaida mwenye murua na haya; sikwambii tena mtume aliye maasumu. Wakataja kisa kirefu kutoka katika Biblia kitabu cha 2 Samweli: 11 na 12, kutoka agano la kale ambalo mahala pake pamechukuliwa na hukumu ya Qur’an. Nukuu za agano lenyewe kuhusiana na hilo haziingiliki akili.

Swahili

Aya 26 – 29: Tumekufanya Uwe Khalifa Ardhini

Maana

Ewe Daudi! Hakika Sisi tumekufanya uwe Khalifa ardhini.

Kila mtu aliyeko, au atakayekuweko, ardhini basi huyo ni khalifa wa Mwenyezi Mungu ardhini; kwa maana yakuwa ana majukumu mbele ya Mwenyezi Mungu ya kufanya mambo ya heri duniani na Akhera katika maisha haya.

Swahili

Aya 30 – 40: Suleiman

Maana

Na Daudi tukamtunukia Suleiman, mbora wa waja. Kwa hakika alikuwa mwingi wa kutubu.

Swahili

Aya 41 – 48: Ayyub

Maana

Na mkumbuke mja wetu Ayyub

Swahili

Aya 49 – 64: Wenye Takua Na Waliopetuka Mipaka

Maana

Huu ni ukumbusho.

Yaani huko kutaja Mwenyezi Mungu (s.w.t.), katika Aya zilizotangulia, sifa za manabii, kama Ibrahi, Ismail, Daud, Suleiman na wengineo.

Na hakika wenye takua wana marudio mazuri.

Swahili

Aya 65 – 88: Mimi Ni Muonyaji Tu

Maana

Sema: Hakika mimi ni mwonyaji tu; na hapana Mola ila Mwenyezi Mungu Mmoja, Mtenza nguvu. Mola wa mbingu na ardhi na vilivyomo kati yake, Mwenye nguvu, Mwingi wa maghufira.

Swahili

Sura Ya Thelathini Na Tisa: Az-Zumar

Imeshuka Makka ina Aya 75 isipokuwa Aya tatu.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Swahili