Aya 1-4: Dini Safi Ni Ya Mwenyezi Mungu Tu!

Maana

Mteremsho wa Kitabu hiki umetokana na Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye hekima.

Swahili

Aya 5 – 8 : Huufunika Mchana Juu Ya Usiku

Lugha

Neno Huuzongazonga limefasiriwa kutokana na neno la kiarabu yukawwir, lenye maana ya kufunika kitu kilicho mviringo; kama mtu anavyozongazonga kitambaa kichwani kufanya kilemba.

Swahili

Aya 9 – 16: Hadhari Ya Akhera Na Matarajio Ya Rehema Ya Mola

Swahili

Aya 17 – 21: Wanaosikiliza Maneno Wakafuata Mazuri Yake

Maana

Na wale wanaojiepusha na kuabudu taghut, na wakarejea kwa Mwenyezi Mungu, watapata bishara njema. Basi wabashirie waja wangu.

Makusudio ya Tghut hapa ni masanamu.
Mwenyezi Mungu (s.w.t.) anawabashiria wale walioacha shirki wakatubia na wakamtii Mwenyezi Mungu

Swahili

Aya 22 – 24: Ambaye Mwenyezi Mungu Amemfungulia Kifua Chake Kwa Uislamu

Maana

Je! Yule ambaye Mwenyezi Mungu amemfungulia kifua chake kwa Uislamu, na akawa kwenye nuru itokayo kwa Mola wake, ni sawa na mwenye moyo mgumu?

Swahili

Aya 25 – 31: Qur’ani Ya Kiarabu Isiyokuwa Na Upogo

Maana

Waliokuwa kabla yao walikadhibisha, na ikawajia adhabu kutoka pahali wasipopatambua. Basi Mwenyezi Mungu akawaonjesha hizaya katika uhai wa duniani. Na bila ya shaka adhabu ya Akhera ni kubwa zaidi; laiti wangelijua!

Swahili

Utangulizi Wa Mchapishaji

Kitabu hiki kilichoko mikononi mwako hivi sasa ni juhudi ya miaka mingi sana ya watu waliojitolea kuona kazi hii imefanikiwa bila ya kumsahau Marhum Abu Muhammad wa London.

Kama lilivyo jina la Tafsiri ndivyo ilivyo Tafsiri yenyewe ambayo mwanachuoni huyu mahiri kabisa aliyeifafanua ni mtu aliyebobea katika fani zote ambazo mfasiri (Mfafanuzi) anatakiwa awe nazo.

Sheikh Muhammad Jawad Mughniyya ameonesha cheche zake katika vitabu vingi alivyoviandika katika maudhui mbalimbali na hivyo kujipatia wasomaji wengi sana.

Swahili

Aya 31-34: Utwahara Wa Ahlul Bayt

Maana

Na yeyote katika nyinyi atakayemtii Mwenyezi Mungu na Mtume wake na akatenda wema, tutampa malipo yake mara mbili, na tutamwandalia riziki yenye heshima.

Kama ambavyo adhabu itakuwa mara mbili kwa atakayejasiri kufanya maasi katika wake wa Mtume, vile vile thawabu zitakuwa mara mbili zaidi kwa atakayemuogopa Mwenyezi Mungu na akamcha.

Swahili

Aya 35: Wanaume Na Wanawake Wanaohifadhi Mipaka Ya Mwenyezi Mungu

Maana

Uislamu ni kukiri umoja wa Mwenyezi Mungu na risala ya Muhammad. Imani ni kukiri kwa ulimi na kufanya kwa vitendo. Kuna Aya inayofahamisha tofauti ya Uislamu na imani: “Mabedui wamesema: Tumeamini, sema: Hamjaamini, lakini semeni tumesilimu. Kwani imani haijaiingia katika nyoyo zenu.” (49:14).

Swahili

Aya 36 – 40: Kisa Cha Zainab Bint Jahsh

Swahili