Aya 10 – 14: Daud Na Suleiman

Swahili

Aya 15 – 21: Sabaa

Maana

Lugha

Sabaa ni jina la kabila la waarabu, lililotokana na jina la baba ambaye kizazi chao kinatokana naye.

Swahili

Aya 22 – 30: Sema Waiteni Mnaodai Kuwa Ni Waungu

Maana

Sema: Waombeni hao mnaodai kuwa ni badala ya Mwenyezi Mungu.

Swahili

Aya 31-33: Hawataamini Qur’an

Maana

Na walisema waliokufuru: Hatutaiamini Qur’an hii, wala yaliyokuwa kabla yake, kama vile Tawrat na Injil. Walioyasema haya ni washirikina, kwa dalili ya kauli yake Mwenyezi Mungu:

Swahili

Aya 34 – 42: Wapenda Anasa

Maana

Na hatukumtuma mwonyaji yeyote kwenye mji ila walisema wapenda anasa wake: Hakika sisi tunayakataa hayo mliyotumwa nayo. Na wakasema: Sisi tuna mali nyingi zaidi na watoto, wala sisi hatutaadhibiwa.

Hii ndio fikra ya wapenda anasa na hii ndio lugha yao. Mali ndio ya kwan- za na ya mwisho; ndiyo bwana na wao ni watumwa.

Swahili

Aya 43 – 50: Ninawapa Mawaidha Kwa Jambo Moja Tu

Swahili

Aya 51 – 54: Wataipata Wapi?

Maana

Na lau ungeliwaona watakapofazaika, basi hapana pa kukimbilia, na watakamatwa mahala pa karibu.

Swahili

Sura Ya Thelathini na Tano: Fatir

Imeshuka Makka. Ina Aya 45.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

الْحَمْدُ لِلَّهِ فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ جَاعِلِ الْمَلَائِكَةِ رُسُلًا أُولِي أَجْنِحَةٍ مَثْنَىٰ وَثُلَاثَ وَرُبَاعَ ۚ يَزِيدُ فِي الْخَلْقِ مَا يَشَاءُ ۚ إِنَّ اللَّهَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {1}

Swahili

Aya 1 – 3: Sifa Njema Ni Za Mwenyezi Mungu

Swahili

Aya 4 – 8: Walikadhibishwa Mitume Kabla Yako

Maana

Na kama wakikukadhibisha, basi wamekwisha kadhibishwa Mitume kabla yako na mambo yote yatarudishwa kwa Mwenyezi Mungu, amlipe thawabu muumini mwenye kusubiri katika jihadi yake na amuadhibu mwenye kuikadhibisha haki kwa sababu ya kukadhibisha kwake.

Lengo la Aya hii ni kumpoza Mtume (s.a.w.) na kuwakaripia mahasimu na maadui wake. Umetangulia mfano wake katika Juz. 4 ( 3:183) na Juz. 17 (22:42).

Swahili