Aya 41 – 49: Ndiye Anayewarehemu

Swahili

Aya 50 – 52: Tumekuhalalishia Wake Zako

Maana

Mwenyezi Mungu (s.w.t.) katika Aya hii ametaja aina ya wanawake walio halali kwa Mtume (s.a.w.) na kumwachia hiyari ya kumlalia na kutomlalia anayemtaka. Kisha akamharamishia kuzidisha wale aliokuwa nao au kubadilisha mwingine. Wakati huo alikuwa na wake tisa. Ufuatao ni ufafanuzi:

Ewe Nabii! Hakika sisi tumekuhalalishia wake zako ambao umewapa ujira wao.

Swahili

Aya 53 – 55: Mkishakula Tawanyikeni

Maana

Enyi ambao mmeamini! Msiingie majumba ya Mtume ila mkipewa ruhusa ya kwenda kula, sio kungojea kiive. Lakini mtakapoitwa, basi ingieni. Na mkisha kula, tawanyikeni wala msiweke mazungumzo.

Swahili

Aya 56 – 58: Mswalieni Mtume

Maana

Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wake wanamswalia Nabii. Enyi ambao mmeamini! Mswalieni na mumsalimu kwa salamu.

Swahili

Aya 59 – 62: Wajibu Wa Hijabu

Lugha

Kuna kauli nyingi kuhusu neno Jalbab: kuna wanaosema kuwa ni nguo inayomfunika mwanamke kutoka kichwani hadi nyayoni. Wengine wakasema ni ushungi unaofunika kichwa cha mwanamke na uso wake. Kauli hii ndio aliyo nayo mwenye Majmaul-Bayan.

Maana

Zimekwishatangulia Aya mbili zinazofahamisha wajibu wa hijabu kwa wanawake:

Swahili

Aya 63 – 69: Wanakuuliza Kuhusu Saa

Swahili

Aya 70 – 73: Tulizitolea Amana

Maana

Enyi ambao mmeamini! Mcheni Mwenyezi Mungu na semeni kauli ya sawa. Atawatengenezea matendo yenu na atawaghufiria dhambi zenu.

Swahili

Sura Ya Thelathini na Nne: Saba

Imeshuka Makka. Ina Aya 54.

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ وَلَهُ الْحَمْدُ فِي الْآخِرَةِ ۚ وَهُوَ الْحَكِيمُ الْخَبِيرُ {1}

Swahili

Aya 1 – 6: Sifa Njema Zote Ni Za Mwenyezi Mungu

Swahili

Aya 7 – 9: Wanaopinga Siku Ya Mwisho

Swahili