Majadiliano Juu Ya Ufumbuzi

1. Wakati tunapoomba kwa Allah (s.w.t.) kuwaachilia wafungwa wote, hatuombi kuachiliwa kwa kila aina ya mfungwa, awe mfungwa wa Allah au mfungwa wa Shetani. Bali tunaomba kwa ajili ya wale wafungwa wote ambao ufungwa wao huwazuia kutokana na ufanisi wa kimwili na kiroho. Hata hivyo, wokovu kutokana na ufungwa wa kiroho kama tulivyotaja hapo juu, uko mikononi mwa mfungwa mwenyewe. Kama akiamka kutoka kwenye usingizi wake mzito na kubadilisha tabia zake mbovu, atajipa uhuru yeye mwenyewe.

Swahili

Mtu Huru Katika Karbala

Tukio lisilo na mwisho la Karbala huonyesha mfano mzuri wa mtu mmoja ambaye alijipa uhuru mwenyewe kutokana na pingu za uovu wa matamanio yake na baadae akaleta mfano halisi wa jina lake. Alikuwa akiitwa Hurr (mtu huru). Mwanzoni alikuwa miongoni mwa makamanda wa Yazid. Hata hivyo baada ya kutambua ubora wa ukweli, alitubia na kujiunga na safu ya Imamu al-Husain (a.s.). Akiwa amepigana kwa ushujaa sana katika safu ya Imamu (a.s.) dhidi ya Kuffar, alipata cheo cha juu sana cha Shahid.

Swahili

Mfungwa wa Allah katika Ardhi!

‘Allama Majlisi katika utungo wake mkubwa (kitabu kikubwa) ‘The Oceans of Lights’ (Bahari za Nuru) anasimulia hadithi ambayo kwayo Mtume (s.a.w.w.) anaombwa kueleza hadhi ya Imamu ‘Ali (a.s.) ambapo Mtume (s.a.w.w.) anazungumzia kuhusu fadhila zake kwa urefu sana. Katika nukta moja anasema:

ألا وَمَنْ أَحَبَّ عَلِّيًا سُمِّيَ أَسِيْرُ اللّهِ فِي الأَرْضِ وَ بَاهَى اللّهُ بِهِ مَلآَئِكَتَهُ وَحَمَلَةَ عَرْشِهِ

Swahili

Dokeza la wenye akili

‘Allāmā Tabātabāi katika kitabu chake ‘Al-Mizān’ anasema kitu muhimu sana cha kutafakari: “Wakati Zulaykha alipofunga kabisa milango ya chumba chake (ghallaqat al-abwāb), na kutegemea juu ya uwezo wa dhahiri ambao alikuwa nao, alisema: ‘hayta lak’ (njoo [kwangu!]), Yusufu (a.s.) alikuwa amezama katika mapenzi ya Allah (s.w.t.) na akasahau kila njia ya wazi ya hifadhi, pamoja na yeye mwenyewe; kwa hiyo wakati akiomba hifadhi kwa Allah (s.w.t.) kamwe hasemi ‘Inni a’ūdhu’ (hakika mimi naomba hifadhi) lakini alisema ‘ma ‘ādhallāh!’ [Tanbihu: ingawa zote a’ūdhu

Swahili

Sehemu ya 8

اللّهُمَّ فُكَّ كُلَّ أَسِيرٍ
Ewe Allah! Muachie Kila Mfungwa

Maana ya Asiir

Neno Asiir linatokana na neno al-asr, ambalo lina maana ya:

الشًّدُّ بِالْقَيْدِ

Swahili

Sehemu ya 7

اللّهُمَّ رُدَّ كُلَّ غَرِيبٍ
Ewe Mola Mrudishe Kila Alie Mgeni

Maana ya ‘Ghariib’

Kutokana na ujuzi mdogo wa baadhi ya tamaduni na lugha, baadhi yetu tunadhani kwamba neno ‘Ghariib’ lina maana ya ‘maskini’. Kwa mfano neno hili kwa ki-Urdu lina tumiwa kuonyesha umasikini wa mtu, lakini linapo tumiwa kwa maana makhsusi, kama vile ‘Gharibul watan’ lina kuwa na maana nyingine.

Swahili

Sehemu ya 6

اللّهُمَّ فَرِّجْ عَنْ كُلِّ مَكْرُوبٍ
Ewe Mola Mfariji Kila Mwenye Huzuni

Maana Ya ‘Makrūb’

Neno ‘Makrūb’ ni shamirisho ya jina ambalo asili yake ni kitenzi cha jina ‘karb’ lenye maana ya ‘huzuni nyingi’.

Allāma Tabātabā’i katika kitabu chake ‘al-Mizān’, anamnukuu Sheikh Rāghib Isfahāni, Mtaalamu mashuhuri wa kuandika kamusi ya maneno ya Qur’an, akisema ya kwamba:

Swahili

Sehemu ya 5

اللّهُمَّ اقْضِ دَيْنَ كُلِّ مَدِينٍ
Ewe Mola Mlipie Deni Kila Mwenye Kudaiwa

Maana Pana Ya Neno ‘Deni’

Huenda wengi wakachukulia ya kwamba neno deni ni sawa na mkopo lakini katika sheria za kiislamu lina maana pana kushinda mkopo kwa kuwa mkopo ni sehemu ya deni.

Swahili

Sehemu ya 4

اللّهُمَّ اكْسُ كُلَّ عُرْيَانٍ
Ewe Mola Mvishe Kila Aliye Uchi

Lengo La Kuumbwa Mwanadamu

Swahili

Sehemu ya 3

اللّهُمَّ أَشْبِعْ كُلَّ جَائِعٍ
Ewe Mola Mshibishe Kila Mwenye Njaa

Kujizoesha Njaa

Swahili