Watu Wa Ras

Allah swt anatuambia katika Qur’an Tukufu Sura al-Qaaf, 50, Ayah: 12 - 14

Walikadhibisha kabla yao watu wa Nuhu na wakazi wa Rass na Thamudi.

Na Adi na Fir’auni na watu wa Mtume Luti.

Na wakazi wa kichakani, ( watu wa Nabii Shuaibu ) na watu wa Tubba ( Yemen ).Wote walikadhibisha Mitume; kwa hivyo onyo langu likathubutika ( juu yao ).

Swahili

Watu Wa Sabt (Sabbath)

Qurani Tukufu inatuambia: Sura Al-Aaraf, 7, Ayah ya 163 & 164.

Na waulizeni habari za mji ambao ulikuwa kando ya bahari, (watu wa mji huo) walipokuuwa wakivunja (sheria ya) Jumamosi (ambayo waliambiwa wasifanye kazi katika sikuu hiyo, wafanye ibada tu. Na kazi yao ilikuwa uvuvi). Samaki wao walipowajia juu juu siku za Jumamosi zao; na siku isiyokuwa Jumamosi hawakuwa wakiwajia (hivyo). Basi namna hivyo tuliwatia mtihani kwa sababu ya kuasi kwao.

Swahili

Malaika: Harut Na Marut

Imepokelewa riwaya kutoka kwa Imam Muhammad al-Baquir a.s. kuwa:

Swahili

Yajuj Na Majuj

Allah swt anasema katika Quran, Sura Al-Kahf, 18, Ayah 92 - 99.

Kisha akaifuata njia.

Hata alipofika katikati ya milima miwili,alikuta nyuma yake watu ambao waliweza kwa shida kufahamu neno (wanaloambiwa).

Wakasema:“Ewe Dhulqarnain! Hakika Yajuj na Majuj wanafanya uharibifu katika ardhi.Basi je,tukupe ujira ili utie baina yetu na baina yao kizuizi?”

Swahili

Pepo ( Jannat ) Ya Shaddad

Je Shaddad ni nani …

Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w. alipokwenda katika Mi’raj alikutana na Malakul Mauti. Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w. alimwuliza :

“Je ni wakatigani ambapo wewe kwa hakika ulisikitika katika kutoa roho ya wanaadamu ?”

Kwa hayo Malakul Maut akajibu :

“Ewe Mtume wa Allah swt !

Swahili

Watu Wa Tembo ( As-Hab-I-Fiil )

Allah swt anatuambia katika Qur'an Tukufu, Sura Al Fiil, 105, Ayah ya 1-5 :

Kwani hukuona jinsi Allah swt, Mlezi wako alivyo watendEa wale wenye tembo ?

Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika ?

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

Akawafanya kama majani yaliyoliwa !

Swahili

Watu Wa Pangoni (Kahf)

Allah swt anatuambia katika Qur'an Tukufu, Sura Al Kahf, 18, ayah 9-14:

Bali unadhani ya kwamba wale watu wa Pangoni na Maandishi walikuwa ni ajabu miongoni mwa ishara zetu ?

Vijana hao walipo kimbilia kwenye pango walisema: Allah swt wetu Mlezi ! Tupe rehema itokayo kwako, na tutengenezee uwongofu katika jambo letu.

Tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa wa kadhaa.

Swahili

Bwana Dhul-Qarnain

Bwana Dhulqarnain alikuwa akiitwa Ayash. Na yeye alikuwa ndiye Mfalme wa kwanza baada ya Mtume Nuh a.s., wengi wa watu wanadhani kuwa yeye ndiye Alexandria wa Kirumi lakini haya si kweli kama vile tunavyopata maelezo kutoka riwaya mbalimbali, vile vile wengi wanauliza iwapo Bwana Dhulqarnain alikuwa ni Mtume? Kwa hivyo jibu sahihi ni kwamba Bwana Dhulqarnain yeye hakuwa mtume bali alikuwa mja mwema wa Allah swt .

Allah swt anasema katika Quran, Sura Al-Kahf, 18, Ayah 83 - 98.

Swahili

Shaytani Waswas-Khannas

Katika tafsiri 'Majmaul Bayaan' na 'Al-Miizan fi Tafsiril Quran' Juzuu ya nne na Juzuu ya ishirini uk. 398 ya ‘Allamah Sayyid Muhammad Hussein Tabatabai. Chapa ya pili 1974 Beirut. Ipo riwaya ifuatayo juu ya Istighfaar:

Baada ya kuteremka kwa Aya 3:135, Sheitani alikuja Makkah na kupiga sauti kubwa mno juu ya mlima Thur, ambayo iliwafanya mashabiki wake wote wakusanyike, nao walipokuja walimwona huyo amezongwa na mushkeli mkubwa sana na hapo hawakusita kumwuliza: "Je umekuwaje na hoja gani ya kutukusanya hapa?"

Akajibu:

Swahili

Mi’raj Un-Nabii

Qur’an Tukufu, Surah Bani – Israil, 17, Ayah:1

Kwa jina la Allah swt Mwingi wa Rehema na Ne’ema.

“Utukufu ni wake Yeye ambaye alimpeleka Mja wake usiku (mmoja tu ) kutoka Msikiti Mtukufu (wa Makka) mpaka Msikiti wa mbali (wa Baytul Mugaddas-Falastini) ambao (tumeubariki na ) tumevibariki vilivyoko pembezoni mwake. (Tulimpeleka hivyo) ili tumwonyeshe baadhi ya Alama zetu.

Hakika yeye Allah swt ni mwenye kusikia (na ) Mwenye kuona.

Swahili