Watu Wa Ras
Allah swt anatuambia katika Qur’an Tukufu Sura al-Qaaf, 50, Ayah: 12 - 14
Walikadhibisha kabla yao watu wa Nuhu na wakazi wa Rass na Thamudi.
Na Adi na Fir’auni na watu wa Mtume Luti.
Na wakazi wa kichakani, ( watu wa Nabii Shuaibu ) na watu wa Tubba ( Yemen ).Wote walikadhibisha Mitume; kwa hivyo onyo langu likathubutika ( juu yao ).