Sehemu ya 7

اللّهُمَّ رُدَّ كُلَّ غَرِيبٍ
Ewe Mola Mrudishe Kila Alie Mgeni

Maana ya ‘Ghariib’

Kutokana na ujuzi mdogo wa baadhi ya tamaduni na lugha, baadhi yetu tunadhani kwamba neno ‘Ghariib’ lina maana ya ‘maskini’. Kwa mfano neno hili kwa ki-Urdu lina tumiwa kuonyesha umasikini wa mtu, lakini linapo tumiwa kwa maana makhsusi, kama vile ‘Gharibul watan’ lina kuwa na maana nyingine.

Swahili

Sehemu ya 8

اللّهُمَّ فُكَّ كُلَّ أَسِيرٍ
Ewe Allah! Muachie Kila Mfungwa

Maana ya Asiir

Neno Asiir linatokana na neno al-asr, ambalo lina maana ya:

الشًّدُّ بِالْقَيْدِ

Swahili

Dokeza la wenye akili

‘Allāmā Tabātabāi katika kitabu chake ‘Al-Mizān’ anasema kitu muhimu sana cha kutafakari: “Wakati Zulaykha alipofunga kabisa milango ya chumba chake (ghallaqat al-abwāb), na kutegemea juu ya uwezo wa dhahiri ambao alikuwa nao, alisema: ‘hayta lak’ (njoo [kwangu!]), Yusufu (a.s.) alikuwa amezama katika mapenzi ya Allah (s.w.t.) na akasahau kila njia ya wazi ya hifadhi, pamoja na yeye mwenyewe; kwa hiyo wakati akiomba hifadhi kwa Allah (s.w.t.) kamwe hasemi ‘Inni a’ūdhu’ (hakika mimi naomba hifadhi) lakini alisema ‘ma ‘ādhallāh!’ [Tanbihu: ingawa zote a’ūdhu

Swahili

Mfungwa wa Allah katika Ardhi!

‘Allama Majlisi katika utungo wake mkubwa (kitabu kikubwa) ‘The Oceans of Lights’ (Bahari za Nuru) anasimulia hadithi ambayo kwayo Mtume (s.a.w.w.) anaombwa kueleza hadhi ya Imamu ‘Ali (a.s.) ambapo Mtume (s.a.w.w.) anazungumzia kuhusu fadhila zake kwa urefu sana. Katika nukta moja anasema:

ألا وَمَنْ أَحَبَّ عَلِّيًا سُمِّيَ أَسِيْرُ اللّهِ فِي الأَرْضِ وَ بَاهَى اللّهُ بِهِ مَلآَئِكَتَهُ وَحَمَلَةَ عَرْشِهِ

Swahili

Mtu Huru Katika Karbala

Tukio lisilo na mwisho la Karbala huonyesha mfano mzuri wa mtu mmoja ambaye alijipa uhuru mwenyewe kutokana na pingu za uovu wa matamanio yake na baadae akaleta mfano halisi wa jina lake. Alikuwa akiitwa Hurr (mtu huru). Mwanzoni alikuwa miongoni mwa makamanda wa Yazid. Hata hivyo baada ya kutambua ubora wa ukweli, alitubia na kujiunga na safu ya Imamu al-Husain (a.s.). Akiwa amepigana kwa ushujaa sana katika safu ya Imamu (a.s.) dhidi ya Kuffar, alipata cheo cha juu sana cha Shahid.

Swahili

Majadiliano Juu Ya Ufumbuzi

1. Wakati tunapoomba kwa Allah (s.w.t.) kuwaachilia wafungwa wote, hatuombi kuachiliwa kwa kila aina ya mfungwa, awe mfungwa wa Allah au mfungwa wa Shetani. Bali tunaomba kwa ajili ya wale wafungwa wote ambao ufungwa wao huwazuia kutokana na ufanisi wa kimwili na kiroho. Hata hivyo, wokovu kutokana na ufungwa wa kiroho kama tulivyotaja hapo juu, uko mikononi mwa mfungwa mwenyewe. Kama akiamka kutoka kwenye usingizi wake mzito na kubadilisha tabia zake mbovu, atajipa uhuru yeye mwenyewe.

Swahili

Maneno Mawili

Bismillahir Rahmanir Rahiim.

Namshukuru Allah swt pamoja na Mtume Muhammad Mustafa s.a.w.w. pamoja na Ahlul Bayt a.s. kwa kunijaalia tawfiqi ya kuweza kukitayarisha kitabu hiki.

Swahili

Maisha Ya Mtume Lut

Mtume Lut a.s. alikuwa ni ndugu wa kijamaa wa Mtume Ibrahim a.s. yaani mtoto wa mamake mdogo na dada yake Mtume Lut a.s. aliolewa na Mtume Ibrahim a.s.

Tendo ovu kabisa lililokuwa katika ukoo wa Mtume Lut a.s. ni tendo la Ulawiti 1

Swahili

Maisha Ya Mtume Saleh

Mtume Saleh a.s. aliitwa:

Mtume Saleh a.s. bin Abud bin Asif bin Nasikh bin Abud bin Hadir bin Thamud bin Amir bin Sam bin Nuh.

Kabila lake lilikuwa likiishi mipaka ya Kusini ya Syria katika milki iliyokuwa ikijulikana kama Al-hijr au Al-Hajar na ilijulikana kama Wadi-ul-Qura.

Mtume Saleh a.s. alikuja baada ya Mtume Hud a.s. na alitokana na kizazi cha tisa cha Mtume Nuh a.s.

Swahili

Watu Wa Ukhdud (Mahandaki)

Qurani Tukufu inatuambia: Sura Al-Buruj, 85, Ayah ya 4 - 9.

Kuwa walioangamizwa walikuwa watu wa mahandaki. Ya Moto wenye kuni. Walipokuwa wamekaa hapo. Wakitazama yale waliyokuwa wakiwatendea waumini. Wao waliwatesa (hao) si kwa kingine ila hao walimwamini Allah, Mwenye kushinda (na) Mwenye kusifiwa. Ambaye ni Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi; na Allah ni Mwenye kuona kila kitu.

Swahili