Shia Walimu Wa Sunni

Kipimo cha kumpima mtu kuwa anafaa kupokea kwake mafundisho ya dini kwa salama na sahihi ni kutimia sharti tano hizi:

(a) Uwepo uadilifu wa mapokezi, maana yake kila mpokezi katika wapokezi wake awe Mwislamu, aliye balighi, asiwe fasiq na asiwe muongo.

(b) Yakamilike mafungamano ya Sanad, maana yake kila mpokezi katika wapokezi wake awe amepokea moja kwa moja mpaka kufikilia kwa Mtume (s.a.w.).

(c) Kuwepo udhibiti wa mapokezi, yaani kila mpokezi katika wapokezi wake awe mwenye kudhibiti vyema, sawasawa iwe kwa kuhifadhi moyoni au kuhifadhi kwa maandiko.

Swahili

Vibaraka Wa Bani Umayya

Lile agizo la Muawia kupitia kwa magavana wake ya kuwa: "Wasiache kumtukana Ali na kumkashifu, na kumhurumia Uthman na kumuombea msamaha, na kuwatia aibu watu wa Ali na kuwatenga mbali......."

Agizo hilo limefika mbali sana na sumu yake inaendelea mpaka leo hii.

Hapa tutataja baadhi ya Makada wa Muawia ambao wako katika mstari wa mbele wa usimamiaji wa siasa hiyo.

(1) Abu Huraira

Swahili

An-Nasai

Jina lake ni: Abu Abdur Rahman Ahmad bin Shua'ib Annasai. Alikuwa Imam wa Hadith katika zama zake, na kitabu chake ni mojawapo ya Sihahi sita zinazotegemeka sana kwa ndugu zetu Masunni. Alipoandika Kitabu: "Alkhasais" kilichotaja ubora wa Imam Ali (a.s.), Annasai anasema: "Nilipofika Damashq (Syria) na nikawaona wapinzani wengi wa Ali, nikaandika Kitabu nikitaraji kuwa watakapokisoma Mwenyezi Mungu atawaongoa."

Swahili

Tukio La Harra

Muawia alipokuwa karibu atakufa, alimuusia mwanawe Yazid kuwa:

"Tahadhari sana na watu wa Madina hasa Husein. Ukiona mambo yanabadilika haraka mpeleke Muslim bin Uqba."

Jeshi la Muslim liliingia Madina likabaki hapo kwa muda wa siku tatu, binadamu wengi sana waliuliwa, na wasichana bikira elfu moja walinajisiwa na jeshi hilo.

Taz: Al'bidayatu Wannihaya J.6 Uk. 239

Tarikhut Tabari J.4 Uk. 374

Swahili

Habari Za Muawia

Jina lake ni: Muawia bin Abi Sufiani bin Harb bin Umayya.

Swahili

Masahaba Waovu

Mwenyezi Mungu anasema:

"Na wanamuapa Mwenyezi Mungu kuwa wao ni pamoja nanyi hali wao si pamoja nanyi bali wao watu wanaogopa. Kama wangelipata pakukimbilia mapangoni au mahala pengine pa kuingia, bila shaka wangeligeukia huko hali ya kukimbia." 9:56-57

Swahili

Ubora Wa Sahaba Kwa Itikadi Za Sunni

"Bora ya umati wangu ni karne yangu kisha wanaofuatia, kisha watakaofuata, kisha watakuja watu viapo vyao vitakuwa mbelembele kuliko kuonyehsa ushahidi wao. Na watatoa ushahidi kabla ya kuombwa hilo."[1]

"Msiwatukane Masahaba wangu, Wallahi laiti atatoa dhahabu mmoja wenu iliyo kubwa kama mlima wa Uhud, hawezi kufikia ubora wao."[2]

Swahili

Masahaba Wema

Mwenyezi Mungu anasema:

"Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewawia radhi waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua yaliyomo mioyoni mwao. Basi akateremsha utulivu juu yao na akawalipa ushindi wa karibu." 48:18

"Na waliotangulia wa kwanza katika wahajiri na Ansar na wale waliofuata kwa ihsani. Mwenyezi Mungu amewaridhia nao pia wameridhia na amewaandalia bustani zipitazo mito chini yao, kukaa humo milele huku ndiko kufaulu kukubwa." 9:100

Swahili

Sahaba

Amesema Ibn Hajar katika utangulizi wa Kitabu chake: "Al'isaba" kuwa:

"Sahaba ni mtu aliyekutana na Mtume (s.a.w.) akamwamini na akafa katika imani hiyo. Hapa anaingia aliyeishi naye kwa muda mfupi aliyepokea kwake au hakupokea, vile vile anaingia aliyepigana pamoja naye au hakupigana, aliyemuona japo mara moja au hakumuona, kwa sababu ya matatizo fulani kama upofu."

Hata hivyo suala la Sahaba linagawanyika makundi mawili:

(a) Kwamba; Masahaba wote ni waadilifu, hawana makosa, huu ni msimamo wa Masunni

Swahili

Tukio La Siffin

Imam Ali (a.s.) baada ya kurudi kutoka Basra, alimpeleka Jariri bin Abdillah kwa Muawia
kumtaka atoe kiapo cha utiifu katika serikali yake. Muawia hakukubali. Kisha Muawia alitoka na wapiganaji laki moja na ishirini elfu. Imam Ali alikwenda Siffin akiwa na wapiganaji elfu tisini.
Watu wa Sham wakauliwa sabini elfu, na watu wa Iraq wakauliwa ishirini na tano elfu akiwemo Ammar bin Yasir.

Taz: Tadhkiratul Khawas Uk. 81-82

Zubeid bin Abdukhawalan, alikuwa katika majeshi ya Muawia.

Swahili