Sheria za Kiislamu katika Zama Hizi

Katika sehemu nyingine ya mjadala wangu, kuna masuala mengine mengi ya kujadiliwa lakini hapa nitayataja kwa muhtasari tu. Uislamu una mfumo mahsusi wa utungaji wa sheria. Ajabu ya mfumo huo ni kuwa sheria zake zinaweza kwenda sambamba na maendeleo ya zama, na hata zinaweza kuwa ni mwongozo kwa maendeleo na wakati huohuo zikaweza kupambana na upotovu na ufisadi.

Swahili

Mabadiliko katika Kilichotukia

Ustawi, ufanisi, maendeleo, mabadiliko na mageuzo ya historia ni katika mahitaji ya kimsingi ya maisha ya binadamu. Historia ya binadamu inabadilika lakini hakuna mabadiliko yoyote katika maisha ya mnyama yeyote au viumbe vya kijamii kama vile nyuki. Maisha na tabia ya nyuki haikubadilika. Kwa mfano, maandishi ya miaka elfu kadhaa iliyopita juu ya maisha ya nyuki yanathibitisha kwamba muundo na hali ya maisha ya nyuki ilivyo leo ni kama vile ilivyokuwa zamani.

Swahili

Kwa jina la Allah, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu

Maudhui ya mjadala wetu unahusu kanuni (sheria) za Kiislamu na namna zinavyoweza kuafikiana na ustawi na mabadiliko ya dunia ya kisasa.

Swahili

Sheria za Kiislamu Katika Dunia ya Kisasa

Swahili

Utangulizi Wa Mchapishaji

Kijitabu ulichonacho mkononi ni mojawapo kati ya mihadhara yenye thamani na faida ya Ustadh Shahid Murtadha Mutahhari. Mhadhara huu wenye mada: Sheria za Kiislamu katika Dunia ya Kisasa ulirekodiwa kisha ukanukuliwa na kufasiriwa kwa lugha ya Kiswahili.

Idara ya Kimataifa ya Taasisi ya Tablighi ya Kiislamu ambayo mpaka hivi sasa imekwishachapisha na kutangaza vitabu kadhaa vya Ustadh Mutahhari katika lugha mbalimbali za dunia, ina furaha pia kukichapisha kijitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili na kukigawa kwa wote wenye kupenda haki.

Swahili

Sura Ya Ishirini Na Mbili

Jaun bin Huwi alikuwa mtumwa wa Abu Dharr ambaye historia ya maisha yake yanaonekana jinsi alivyofundishwa na Abu Dharr. Kwa mujibu wa Mama qani, nasaba ya Jaun ni kama ifuatavyo:

Jaun bin Huwi bin Qatadah bin Awar bin Saidah bin Awf bin Kab bin Huwi Habashi (Tanqihul Maqal Juz. 1)

Imeandikwa kuhusu mtu huyu kwamba alikuwa wa jamii ya Kiafrika na alikuwa anamilikiwa na Fadhl bin Abbas bin Abdul Muttalib, ambako Ali alimnunua kwa sarafu za dhahabu 150 na akamtoa kama zawadi kwa Abu Dharr. Ali alitaka Jaun amtumikie Abu Dharr.

Swahili

Sura Ya Ishirini Na Moja

Baada ya kupata mateso ya kugandamizwa na matatizo mfululizo na mfuatano wa kuhamishwa kutoka kwa watu wenye fikra za kidunia, Abu Dharr aliiacha dunia hii ya muda mfupi akiwa Rabzah. Lakini hadith ya mapenzi yake kwa Mwenyezi Mungu bado inaendelea kuishi hadi daima milele. Historia imejaa mifano, ukweli na hotuba zake zilizowazi na kuaminika zitaendelea kusikika kwenye nyoyo za waumini. Abu Dharr bado yu hai kupitia kwa tabia yake hata baada ya kifo chake; na ataendelea kuwa hai kupitia kwa kanuni alizozishikilia sana.

Swahili

Sura Ya Ishirini

Abu Dharr alikuwa anaona siku zinapita akiwa Rabzah katika hali ya upekee na upweke. Hapakuwepo na mtu wa kumtunza na kujua hali yake. Alikuwa hana njia ya kufarijika. Kama familia yake ingekuwepo naye, hangehisi uchungu wa upweke kiasi hicho. Familia yake ilikua bado ipo Syria na Abu Dharr akafukuzwa na kupelekwa Madina na halafu akafukuzwa kupelekwa Rabzah.

Swahili

Sura Ya Kumi Na Tisa

Waandishi wa historia wanasema kwamba Abu Dharr alitoa hotuba zake kuhusu mada maalum. Msikitini, nje ya msikiti, kwenye baraza, kwenye viwanja vya maonyesho ya michezo, mitaani na mahali popote alipopata fursa ya kufanya hivyo. Hakuogopa kuuawa sababu Mtume wa Mwenyezi Mungu alikwisha mwambia kwamba hakuna mtu ambaye angeweza kumua au kumfanya aache imani yake wala hakuogopa shutuma kwa sababu aliapa mbele ya Mtukufu Mtume kuhusu suala hili. Alikuwa na uhakika kabisa kwamba lolote alilofanya ilikuwa linakubaliana na utashi wa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.

Swahili

Sura Ya Kumi Na Nane

Baada ya Abu Dharr kurudi Madina kutoka Syria, alijishughulisha na mahubiri yake ambapo tukio lingine la kupasua moyo lilitokea kwa mara nyingine na hilo lilikuwa la kuchomwa kwa Qurani.

Swahili