Somo La Kumi: Mwonekano Wa Utu Wa Imam Ali Bin Abu Talib (A.S.)

Sifa za ukamilifu zilikusanyika kwa Imam Ali bin Abu Talib. Alikuwa na sifa nzuri za kusifika, mahsusi za kupendeza, nasaba bora na sharafu tukufu, asili takatifu na nafasi yenye kuridhiwa. Sifa ambazo hakubahatika kuzipata mtu yeyote mwingine, kwani yeye ni jemedari wa waumini, mbora wa mawasii na khalifa wa kwanza wa Mtume (s.a.w.w.) kati ya makhalifa waongozao kwa amri ya Mwenyezi Mungu.

Swahili

Somo La Tisa: Dondoo Za Maisha Ya Mbora Wa Mawasii

Swahili

Somo La Nane: Urithi Wa Mbora Wa Mitume

Akili Na Ukamilifu Wa Mwanadamu

Mtume (s.a.w.w.) alielezea kuhusu akili, majukumu yake na nafasi yake katika maamrisho na majukumu ya mwanadamu, nafasi yake katika matendo na malipo, hivyo akabainisha sababu za kukua na kukamilika kwa akili akasema: “Hakika akili ni kitanzi dhidi ya ujin- ga na nafsi ni sawa na mnyama mbaya, hivyo iwapo hakufungwa kitanzi hucharuka, basi akili ni kitanzi kuliko ujinga.

Swahili

Somo La Saba: Tabia Na Mwonekano Wa Hitimisho La Manabii (S.A.W.W.)

Ukarimu

Ibnu Abbas amesema: “Mtume (s.a.w.w.) alikuwa mkarimu sana kati- ka mambo ya kheri, ukarimu wake ulikuwa ukiongezeka zaidi ndani ya mwezi wa Ramadhani……Alikuwa akikutana na Jibril ndani ya kila mwezi wa Ramadhani kila mwaka, hivyo akikutana na Jibril huwa mkarimu sana kuliko upepo uvumao.”1

Swahili

Somo La Sita: Tabia Na Mwonekano Wa Hitimisho La Manabii (S.A.W.W.)

Msomi Asiyewahi Kusoma Wala Kuandika

Kati ya sifa za kipekee alizonazo Mtume wa mwisho (s.a.w.w.) ni kuwa yeye hakujifunza kusoma wala kuandika kutoka kwa mwalimu yeyote yule wa kibinadamu,1 wala hakukulia katika mazingira ya kielimu bali alikuwa ndani ya jamii ya wajinga.

Swahili

Somo La Tano: Tabia Na Mwonekano Wa Hitimisho La Manabii (S.A.W.W.)

Swahili

Somo La Nne: Maisha Ya Nabii Wa Mwisho

Hakika Mwenyezi Mungu alipenda asimamie malezi ya Muhammad (s.a.w.w.) amtoe mikononi mwa familia yake ili awe chini ya ulinzi wake ikiwa ni maandalizi ya kupata familia kubwa ambayo kiongozi wake atakuwa ni Muhammad.

Swahili

Somo La Tatu: Mazingira Safi

Mazingira yana mchango mkubwa katika malezi ya mwanadamu, humfanya awe mwema au humharibu. Mazingira tunayokusudia hapa ni wale watu wanaomzunguka mwanadamu ambao mwanadamu huyu hupokea kutoka kwao misingi ya maarifa yake na lugha yake. Wanadamu ambao kupitia kwao hujifunza elimu na maarifa mbalimbali na huongoka kupitia kwao, kwani huathirika kulingana na wanadamu wanaomzunguka, hivyo yeye huwaathiri na wao humwathiri.

Swahili

Somo La Pili: Muhammad Bin Abdullah (S.A.W.W.) Ni Utabiri Wa Manabii (A.S.)

Mwenendo Wa Utabiri

Ni mwenendo wa Mwenyezi Mungu na ni rehema na amani kutoka Kwake kuwapa habari waja Wake za kuja kwa Mtume atakayemtuma kwao muda ujao. Hivyo manabii waliotangulia walikuwa wakim- bashiri Nabii atakayekuja baada yao.

Swahili

Somo La Kwanza: Hatua Ya Mwanzo Kuelekea Kwenye Masomo Ya Sera Na Historia Ya Uislamu

Swahili