Mzozo Kati ya Wafuasi wa Madhehebu na Kukufurishana Baadhi Yao Kwa Baadhi
Katika aina ya mzozo baina ya wafuasi wa madhehebu ni kwamba wa Hanbali walikuwa wanachoma moto misikiti ya watu wa Shafi, makhatibu Wakihanafi walikuwa wanawalaani Hanbali na Shafi juu ya mimbari na ilitokea fitina baina ya wa Hanafi na Shafi hata masoko na madrasa zilichomwa moto.1